Toleo Maalumu

Habari

CHAMA CHA MAWAKILI WA SERIKALI CHAMPONGEZA JOHARI

Na MWANDISHI WETU CHAMA cha Mawakili wa Serikali (GAT) kimempongeza, Hamza Johari kwa kuteuliwa tena kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kikiuelezea uteuzi huo kuwa ni kielelezo cha ubobezi na uadilifu wake katika taaluma ya sheria. Kwa mujibu wa taarifa ya chama hicho, uteuzi huo pia unaendana na matakwa ya Ibara ya 59 ya Katiba ya […]

Uchaguzi

WATANZANIA 37,647,235 KUPIGA KURA LEO

Na WAANDISHI WETU TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza maandalizi yote muhimu ya Uchaguzi Mkuu wa wa Rais, Wabunge na Madiwani, yamekamilika.Jumla ya wapigakura 37,647,235, wamethibitishwa kushiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele, amesema hayo kupitia taarifa ya tume hiyo na kusisitiza, uchaguzi huo, unafanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara […]

KISHINDO SIKU 60 ZA DK. SAMIA

Na MUSSA YUSUPH,Mwanza SHAMRASHAMRA za maandalizi ya mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu, zimeendelea kuutikisa Mkoa wa Mwanza ambapo Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi, wapenzi, wanachama na wakereketwa wa CCM. Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, katika Uwanja wa CCM […]

DK. MWINYI AJAWA MATUMAINI KIBAO

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wana matumaini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa kesho kutwa. Dk. Mwinyi alisema hayo, katika ufungaji kampeni za Uchaguzi Mkuu wa CCM, uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mjini Unguja Alisema kutokana na wingi wa wanachama […]

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

Na NJUMAI NGOTA,UKEREWEMGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunga kampeni za Chama kwa kishindo huku akisema amezunguka takribani mikoa yote kwa mafanikio makubwa.Katika mikutano yake ya kampeni, Dk. Nchimbi, ameinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025–2030 na kumwombea kura za Urais, Dk. Samia Suluhu […]

MAAGIZO YA DK. MWINYI KWA WATUMISHI Z’BAR

Na MWANDISHI WETU, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza watumishi wa umma kuendelea kufanya kazi kwa uzalendo na uwajibikaji wakizingatia misingi ya utumishi na utawala bora ili kutoa huduma bora kwa wananchi. Amesema lengo la serikali ni kuimarisha zaidi maslahi ya watumishi wa umma nchini, kulingana na […]

Siasa

DK. SAMIA AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM

Na MWANDISHI WETUDODOMA MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa iliyoketi jijini Dodoma, leo Jumatano, Novemba 5, 2025.Kikao hicho pamoja na Mambo mengine kimefanya uteuzi wa wagombea wa nafasi za Spika na […]

WABUNGE WATEULE KUWASILI DODOMA KUANZIA NOVEMBA 8 -10

Na MWANDISHI WETU DODOMA BUNGE limewatangazia wabunge wote wateule kuwasili Dodoma kuanzia Novemba nane hadi 10 mwaka huu, kwa ajili ya usajili na shughuli mbalimbali za kiutawala kabla ya kuanza kwa mkutano wa kwanza wa Bunge la 13.Kwa mujibu wa Tangazo la Rais katika Gazeti la serikali Toleo Maalumu Na. 11 la Novemba nne mwaka […]

Biashara

MAJALIWA : MRADI GESI YA LNG KUIKOMBOA LINDI KIUCHUMI

Na Mussa Yusuph, Lindi WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema utekelezaji wa mradi wa gesi ya LNG unaotarajiwa kufanyika mkoani Lindi ni ukombozi wa kiuchumi katika mkoa huo na Taifa.Kutokana na hilo, Majaliwa ametoa wito kwa wananchi mkoani Lindi kumpigia kura Mgombea Urais wa CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan akamilishe taratibu zilizobaki kutekeleza mradi huo wa […]

BILIONI 499/- ZAPATIKANA KUPITIA UTALII

Na Mwandishi Wetu  IDADI ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali Tanzania imeongezeka kutoka 786,710 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 hadi kufikia 1,493,135 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 na kuchangia zaidi ya sh. bilioni 499 katika pato la Taifa. Kamishna Msaidizi kutoka Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), July Lyimo, alisema hayo jijini Arusha alipowasilisha mada katika […]

SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FUSRA AFCON

Na AMINA KASHEBA SERIKALI imewataka Watanzania kujipanga na kuchangamkia fursa katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027). Michuano hiyo inatarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Akizungumza Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo wa Taifa (BMT), Neema Msitha amesema Watanzania wanatakiwa kuchangamkia fursa […]

Michezo

SIMBA, NSINGIZINI BALAA ZITO CAFCL

Na NASRA KITANA SAA kadhaa kabla ya kuvaana na Nsingizini Hotspurs ya Eswatini katika mechi ya marudiano ya hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), benchi la ufundi la Simba, limesema linahitaji timu yake kupata ushindi wa mabao mengi leo. Simba itachuana na Nsingizini Hotspurs saa 11:00 jioni katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa […]

YANGA , SILVER NI MECHI YA KISASI NA HESHIMA

Na  NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Yanga kikitarajiwa kushuka dimbani leo kumenyana na Silver Strikers ya Malawi, kaimu kocha Mkuu wa Yanga, Patrick Mabedi amesema ushindi dhidi ya Silver Strickers ni muhimu, kuhakikisha timu inatinga hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF), mwaka huu. Yanga leo itashuka dimbani katika mchezo wake […]

SIMBA, YANGA  ZAITA MASHABIKI

Na NASRA KITANA WACHEZAJI wa timu za Simba na Yanga, wamewaomba mashabiki wake kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam kuwapa sapoti katika mechi za marudiano katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL). Katika ratiba ya hatua ya pili ya mtoano ya CAFCL, Yanga itachuana na Silver Striker ya Malawi […]

FOLZ  AKILI YOTE KWA WAMALAWI

Na ABDUL DUNIA LICHA ya kukiri mechi dhidi ya Silver Strikers ya Malawi itakuwa ngumu, Kocha wa Yanga, Romain Folz, amesema lengo lao ni kupata matokeo mazuri katika mtanange huo. Yanga itachuana na Silver Strikers katika mechi ya hatua ya pili ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), utakaopigwa Oktoba 18, 2025, katika Uwanja […]

PANTEV KICHEKO SIMBASC

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha Simba kikitarajiwa kuondoka nchini leo, kocha wa timu hiyo Dimitar Pantev amesema ana furaha na nyota wake baada ya kupata ushindi katika mechi mbili za kirafiki. Pantev ametoa kauli hiyo Dar es Salaam, baada ya timu yake kuibuka na ushindi dhidi ya Al Hilal Omdurman ya Sudan kwa kuifunga […]

Burudani

SIMBA, NSINGIZINI BALAA ZITO CAFCL

Na NASRA KITANA SAA kadhaa kabla ya kuvaana na Nsingizini Hotspurs ya Eswatini katika mechi ya marudiano ya hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), benchi la ufundi la Simba, limesema linahitaji timu yake kupata ushindi wa mabao mengi leo. Simba itachuana na Nsingizini Hotspurs saa 11:00 jioni katika mchezo utakaopigwa Uwanja wa […]

YANGA , SILVER NI MECHI YA KISASI NA HESHIMA

Na  NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Yanga kikitarajiwa kushuka dimbani leo kumenyana na Silver Strikers ya Malawi, kaimu kocha Mkuu wa Yanga, Patrick Mabedi amesema ushindi dhidi ya Silver Strickers ni muhimu, kuhakikisha timu inatinga hatua ya makundi katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF), mwaka huu. Yanga leo itashuka dimbani katika mchezo wake […]

SIMBA, YANGA  ZAITA MASHABIKI

Na NASRA KITANA WACHEZAJI wa timu za Simba na Yanga, wamewaomba mashabiki wake kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam kuwapa sapoti katika mechi za marudiano katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL). Katika ratiba ya hatua ya pili ya mtoano ya CAFCL, Yanga itachuana na Silver Striker ya Malawi […]

FOLZ  AKILI YOTE KWA WAMALAWI

Na ABDUL DUNIA LICHA ya kukiri mechi dhidi ya Silver Strikers ya Malawi itakuwa ngumu, Kocha wa Yanga, Romain Folz, amesema lengo lao ni kupata matokeo mazuri katika mtanange huo. Yanga itachuana na Silver Strikers katika mechi ya hatua ya pili ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL), utakaopigwa Oktoba 18, 2025, katika Uwanja […]

PANTEV KICHEKO SIMBASC

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha Simba kikitarajiwa kuondoka nchini leo, kocha wa timu hiyo Dimitar Pantev amesema ana furaha na nyota wake baada ya kupata ushindi katika mechi mbili za kirafiki. Pantev ametoa kauli hiyo Dar es Salaam, baada ya timu yake kuibuka na ushindi dhidi ya Al Hilal Omdurman ya Sudan kwa kuifunga […]

Maoni ya Mhariri

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

error: Content is protected !!